NENO
Language EN SW
Register
Back to Books
Silaha Saba Katika Vita ya Kiroho
Not Free

Silaha Saba Katika Vita ya Kiroho

by Pr David Mmbaga

Katika maisha ya yetu, tumesikia mengi yakisemwa hasa kuhusu vita ya kiroho,maneno kama; 'jambo hili ni la kiroho,''hapa twende kiroho zaidi' na mengine kama hayo, yamekuwa yakisikika, lakini je maana yake hasa ni nini? Jibu lipo ndania ya Kitabu Hiki 📞 Mawasiliano: 0621 304 701

113 pages 2023 TZS 6,000