Not Free
Silaha Saba Katika Vita ya Kiroho
by Pr David Mmbaga
Katika maisha ya yetu, tumesikia mengi yakisemwa hasa kuhusu vita ya kiroho,maneno kama; 'jambo hili ni la kiroho,''hapa twende kiroho zaidi' na mengine kama hayo, yamekuwa yakisikika, lakini je maana yake hasa ni nini? Jibu lipo ndania ya Kitabu Hiki
📞 Mawasiliano: 0621 304 701
113 pages 2023 TZS 6,000