Not Free
AHADI ZA MUNGU KWANGU
by Pr David Mmbaga
“Ahadi za Mungu Kwangu” ni kitabu kinachokufungua macho ya imani ili uone na kushika ahadi za Mungu juu ya maisha yako. Kupitia Neno la Mungu na mafundisho ya kiroho, utajifunza jinsi ya kusimama katika ahadi zake, kushinda changamoto, na kuishi maisha yenye ushindi, amani, na matumaini. Kitabu hiki kitakutia nguvu ya kumwamini Mungu zaidi na kuona ahadi zake zikitimia katika maisha yako ya kila siku.
📞 Mawasiliano: 0621 304 701
247 pages 2025 TZS 9,000