NENO
Language EN SW
Register
Back to Books
AHADI ZA MUNGU KWANGU
Not Free

AHADI ZA MUNGU KWANGU

by Pr David Mmbaga

“Ahadi za Mungu Kwangu” ni kitabu kinachokufungua macho ya imani ili uone na kushika ahadi za Mungu juu ya maisha yako. Kupitia Neno la Mungu na mafundisho ya kiroho, utajifunza jinsi ya kusimama katika ahadi zake, kushinda changamoto, na kuishi maisha yenye ushindi, amani, na matumaini. Kitabu hiki kitakutia nguvu ya kumwamini Mungu zaidi na kuona ahadi zake zikitimia katika maisha yako ya kila siku. 📞 Mawasiliano: 0621 304 701

247 pages 2025 TZS 9,000